Mjasiriamali ni blog yenye nia ya kuelimisha jamii juu ya mbinu mbalimbali za kujikwamua kimaisha. Ni blog yenye habari mchanganyiko zikiwepo za kuelimisha, kupasha taarifa, kuburudisha na kadhalika. Kila mtu mwenye shauku ya kusikia ama kupasha habari basi hapa ni mahali pake
Sunday, January 7, 2007
KARIBUNI
Jamani Karibuni katika kaulimwengu ka blog! Nailete hii kwenu ili tushirikiane kujadili mambo mbalimbali yahusuyo Tanzania yetu ya leo na hata baadaye.
5 comments:
Dah! Kaka haya tumeona
hongera mtoto wa Kilimanjaro.
Kaza buti katika hii fani.
Asante kaka ila maoni yako humu na michango zaidi ni muhimu
karibu Mzee!
Karibu sana tena sana
Post a Comment