Mjasiriamali ni blog yenye nia ya kuelimisha jamii juu ya mbinu mbalimbali za kujikwamua kimaisha. Ni blog yenye habari mchanganyiko zikiwepo za kuelimisha, kupasha taarifa, kuburudisha na kadhalika. Kila mtu mwenye shauku ya kusikia ama kupasha habari basi hapa ni mahali pake
Friday, August 8, 2008
Bongo Tambarare
Tanzania Tanzania, Nakupenda kwa moyo wote Nchi yangu Tanzania Jina lako li tamu sana Nilalapo nakuota wewe Niamkapo ni heri mama we! Tanzania Tanzania Nakupenda kwa moyo wote
1 comment:
Inanikumbusha wakati mdogo shuleni.
Post a Comment