Mjasiriamali ni blog yenye nia ya kuelimisha jamii juu ya mbinu mbalimbali za kujikwamua kimaisha. Ni blog yenye habari mchanganyiko zikiwepo za kuelimisha, kupasha taarifa, kuburudisha na kadhalika. Kila mtu mwenye shauku ya kusikia ama kupasha habari basi hapa ni mahali pake
Tuesday, September 2, 2008
Mchicha
Jamani mchicha ni mtamu usilete matani. Hapa jamaa analima mchicha, wadau nawaachieni wenyewe mniambie kuwa hapa hili shamba lipo wapi mana mimi sitii neno.
1 comment:
Wabongo mpaka ulaya mnalima mchicha uzuri wa wabongo hawatupi asili yao ya chakula.
Post a Comment