Mjasiriamali ni blog yenye nia ya kuelimisha jamii juu ya mbinu mbalimbali za kujikwamua kimaisha. Ni blog yenye habari mchanganyiko zikiwepo za kuelimisha, kupasha taarifa, kuburudisha na kadhalika. Kila mtu mwenye shauku ya kusikia ama kupasha habari basi hapa ni mahali pake
Tuesday, October 7, 2008
Tom na Jerry
Nilipokuwa mdogo hivi vijamaa vilikuwa vinanichekesha sana. Hata sasa bado navipenda sana pamoja na ukubwa wanngu. Sijui ndio niliruka stage mana bado napenda hivi na ni vya watoto. Kaaaaaaaaaaazi kweli kweli.
No comments:
Post a Comment