Mjasiriamali ni blog yenye nia ya kuelimisha jamii juu ya mbinu mbalimbali za kujikwamua kimaisha. Ni blog yenye habari mchanganyiko zikiwepo za kuelimisha, kupasha taarifa, kuburudisha na kadhalika. Kila mtu mwenye shauku ya kusikia ama kupasha habari basi hapa ni mahali pake
Wednesday, January 24, 2007
UZALENDO
Wanafunzi wa Afrika waliohudhuria sherehe za uhuru zilizofanyika hapa Marekani . Hapa wanaonekana wakiwa na Mheshimiwa Andrew Daraja Balozi wa Tanznia nchini Marekani. Hapa walikuwa Fisk University
1 comment:
Anonymous
said...
aminia kaka.kesho na kesho kutwa vijana ndio watakuwa mabalozi.na sisi ndio vijana wenyewe. Ni vizuri wakati mwingine kuzoeana na hawa watu katika kukutana namna hiyo. M/MKUFU
1 comment:
aminia kaka.kesho na kesho kutwa vijana ndio watakuwa mabalozi.na sisi ndio vijana wenyewe. Ni vizuri wakati mwingine kuzoeana na hawa watu katika kukutana namna hiyo.
M/MKUFU
Post a Comment