Mjasiriamali ni blog yenye nia ya kuelimisha jamii juu ya mbinu mbalimbali za kujikwamua kimaisha. Ni blog yenye habari mchanganyiko zikiwepo za kuelimisha, kupasha taarifa, kuburudisha na kadhalika. Kila mtu mwenye shauku ya kusikia ama kupasha habari basi hapa ni mahali pake
Thursday, January 25, 2007
UZALENDO
Watanzania wa Kesho hawa wakiserebuka kushangilia 45 ya Uhuru wa Taifa lao.
2 comments:
Shamukwale nini hiyo?
Safi sana watoto wanafurahi ila wazazi wasisahau kuwarithisha utamadinu wao na kufikri wao ni wamarekani kama inavyosemekana.
Post a Comment