Tunahitaji ubunifu wa namna hii Tanzania. Naamini uwezo wa kusimamisha hhutu tudude na twingine twingi twa namna hii tunao. Ingawa tunahitaji kufuata utaratibu halisi wa mipango miji yani. Inaumiza sana na ni upotevu wa fedha kama tudude kama hutu tutakuwa tumejengwa kwenye eneo linalopaswa kupitishwa barabara, au limetengwa kama eneo la michezo au lina kazi nyingine yoyote. Ni ngumu kufanya maamuzi ya kutuondo hutu. Hata dereva wa tingatinga mwenyewe ataona noma kulipitisha hapo! Nadhani hata tinga tinga lenyewe kama lingekuwa na sauti lingegoma kupitia tudude kama hutu! MhMjasiriamali ni blog yenye nia ya kuelimisha jamii juu ya mbinu mbalimbali za kujikwamua kimaisha. Ni blog yenye habari mchanganyiko zikiwepo za kuelimisha, kupasha taarifa, kuburudisha na kadhalika. Kila mtu mwenye shauku ya kusikia ama kupasha habari basi hapa ni mahali pake
Monday, March 26, 2007
Ubunifu
Tunahitaji ubunifu wa namna hii Tanzania. Naamini uwezo wa kusimamisha hhutu tudude na twingine twingi twa namna hii tunao. Ingawa tunahitaji kufuata utaratibu halisi wa mipango miji yani. Inaumiza sana na ni upotevu wa fedha kama tudude kama hutu tutakuwa tumejengwa kwenye eneo linalopaswa kupitishwa barabara, au limetengwa kama eneo la michezo au lina kazi nyingine yoyote. Ni ngumu kufanya maamuzi ya kutuondo hutu. Hata dereva wa tingatinga mwenyewe ataona noma kulipitisha hapo! Nadhani hata tinga tinga lenyewe kama lingekuwa na sauti lingegoma kupitia tudude kama hutu! Mh
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment