Monday, September 3, 2007

NDIZI

Mdau wangu mmoja amenisihi niweke hii picha kwani kuna vijana wa kibongo waliozaliwa huku ughaibuni, wanakula ndizi kila mara lakini hawajui kinachozaa ndizi hizo. Hii ni migomba inayozaa ndizi aina ya Mshale.

No comments: