Mjasiriamali ni blog yenye nia ya kuelimisha jamii juu ya mbinu mbalimbali za kujikwamua kimaisha. Ni blog yenye habari mchanganyiko zikiwepo za kuelimisha, kupasha taarifa, kuburudisha na kadhalika. Kila mtu mwenye shauku ya kusikia ama kupasha habari basi hapa ni mahali pake
Monday, September 3, 2007
Unapokuwa umekaa nje ya nchi yako kwa muda usiopungua mwaka, huwa unakuwa na hamu sana ya kurejea nyumbani. Ukiwa umejawa na uzalendo tele unarejea na kukuta jamii imekuandalia mambo ya hivi!!! Huwa inatia moyo sana
No comments:
Post a Comment