Mjasiriamali ni blog yenye nia ya kuelimisha jamii juu ya mbinu mbalimbali za kujikwamua kimaisha. Ni blog yenye habari mchanganyiko zikiwepo za kuelimisha, kupasha taarifa, kuburudisha na kadhalika. Kila mtu mwenye shauku ya kusikia ama kupasha habari basi hapa ni mahali pake
Thursday, January 11, 2007
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
Pamoja na wakenya kuendelea kujitangazia mlima kilimanjaro kama mali yao, bado hawajaonja matunda halisi ya mlima huo zaidi ya watu kufika Kenya na kuoneshwa vitu vingine tofauti na mlima huo. Hata hivo dhambi ya kuumiliki mlima kilimanjaro, ambayo siyo mali yao, ina kikomo chake.waweza kuwadanganya baadhi ya watu kwa kipindi fulani na kuwadanganya hata watu wote kwa kipindi fulani lakini huweziwadanganya watu wote siku zote.
Post a Comment