Hata hivyo, waalimu mliopo mbali na nchi yenu, tambueni kuwa Tanzania bado inawahitaji sana, Tanzania ya kweli itajengwa na wataalamu kama nyie. Hivyo pamoja na kuwafunza waghaibu, kumbukeni HOME IS ALWAYA THE BEST. Asante kwa juhudi zako mwalimu endelea kukomaa,... Kwa wengine mnaofanya mambo kama haya tafadhali nitumieni picha na maelezo ili tujadili
Mjasiriamali ni blog yenye nia ya kuelimisha jamii juu ya mbinu mbalimbali za kujikwamua kimaisha. Ni blog yenye habari mchanganyiko zikiwepo za kuelimisha, kupasha taarifa, kuburudisha na kadhalika. Kila mtu mwenye shauku ya kusikia ama kupasha habari basi hapa ni mahali pake
Monday, January 15, 2007
Hata hivyo, waalimu mliopo mbali na nchi yenu, tambueni kuwa Tanzania bado inawahitaji sana, Tanzania ya kweli itajengwa na wataalamu kama nyie. Hivyo pamoja na kuwafunza waghaibu, kumbukeni HOME IS ALWAYA THE BEST. Asante kwa juhudi zako mwalimu endelea kukomaa,... Kwa wengine mnaofanya mambo kama haya tafadhali nitumieni picha na maelezo ili tujadili
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
Ina maana kiswahili ni kwa ajili ya weusi tu? Mbona wazungu siwaoni?
Post a Comment