Hongera Professa- Kama wanavyokuita wanfunzi wako huku, kaza kamba safari bado ndefu
Mjasiriamali ni blog yenye nia ya kuelimisha jamii juu ya mbinu mbalimbali za kujikwamua kimaisha. Ni blog yenye habari mchanganyiko zikiwepo za kuelimisha, kupasha taarifa, kuburudisha na kadhalika. Kila mtu mwenye shauku ya kusikia ama kupasha habari basi hapa ni mahali pake
Sunday, January 14, 2007
Hongera Professa- Kama wanavyokuita wanfunzi wako huku, kaza kamba safari bado ndefu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
3 comments:
Inafurahisha kusikia kiswahili chetu kinafundishwa nchi zanje.Bwana Mgonja unaweza kunifahamisha nafasi ya kiswahili miongoni mwa lugha kuu duniani?
Kumbe nabii haheshimiki nyumbani!!
Hawa vijana walioko Marekani wakiitangaza Tanzania, wakirudi nyumbani wala serikali haiwezi kuwafikiri.Kweli Mwl. Nyerere alisema:"Tanzania itajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno".
Hongera "Mbabe wa Kivita" kaza moyo katika kukitangaza Kiswahili ughahibuni.
Aminia kaka.endelea kuinkopareti lugha na utamaduni. Ni muhimu sana kaka.
Post a Comment